Zawadi ya Ushindi

Zawadi ya Ushindi

Paperback (15 May 1985) | Swahili

  • $18.15
Add to basket

Includes delivery to the United States

10+ copies available online - Usually dispatched within 7 days

Publisher's Synopsis

Idd Amini, kiongozi dhalimu kutoka nchi ya Uganda, alipoiteka sehemu ya nchi ya Tanzania na kuangamiza mamia ya watu wasiokuwa na hatia, serikali ya Tanzania iliamua kumkomesha kabla hajatekeleza maafa zaidi. Iliwatuma vijana wake wakapambane naye ili kusalimisha nchi yao.

Sikamona akiwa kijana barubaru aliukubali mwito wa serikali na kuingia vitani kukabiliana na Idd Amin na kikosi chake. Maisha ya Sikamona yalibadilika kabisa baada ya vita hivi. Hata ingawa walifaulu kumkomesha Idd Amin, Sikamona alibaki na makovu mengi yaliyoiharibu sura yake asijione kastahili kuitwa binadamu tena.

Ni yapi yatakayotokea watakapokutana na Rusia? Atapewa 'Zawadi ya Ushindi'?

Book information

ISBN: 9789966561565
Publisher: African Books Collective
Imprint: East African Educational Publishers
Pub date:
Language: Swahili
Number of pages: 90
Weight: 98g
Height: 178mm
Width: 126mm
Spine width: 8mm