Sudi Atekwa Nyara

Sudi Atekwa Nyara

Paperback (08 May 2019) | Swahili

Not available for sale

Includes delivery to the United States

Out of stock

This service is protected by reCAPTCHA and the Google Privacy Policy and Terms of Service apply.

Publisher's Synopsis

Baada ya kufanya vizuri katika mtihani, Sudi na Shada wanapelekwa na

wazazi wao kwenye mbuga ya wanyama. Wanapofika mbugani, Sudi

anatoweka pasi na yeyote kumwona. Wazazi wake na dada yake

wanaanza kumtafuta. Je, Sudi anapatikana?


Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo

zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza

ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha

uelewa wao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi sio tu za kuelimisha

na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo

yatawasaidia wanafunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra.

Book information

ISBN: 9789966642110
Publisher: Longhorn Publishers Plc
Imprint: Longhorn Publishers Plc
Pub date:
Language: Swahili
Number of pages: 38
Weight: 73g
Height: 210mm
Width: 148mm
Spine width: 3mm