Pendo la Halineshi

Pendo la Halineshi

Paperback (18 Jul 2022) | Swahili

  • $20.15
Add to basket

Includes delivery to the United States

10+ copies available online - Usually dispatched within 7 days

Publisher's Synopsis

Waswahili husema fani ya ujinga mwingi na elimu ni taa, gizani huzagaa. Je, iwapo mtu hajapata elimu ya vitabu wala ya maisha huwa mtu wa sampuli gani? Basi zamani za kale kulikuwa na ghulamu jina lake Fikirini. Elimu ya darasani hakuiona wala kuihisi. Alipata mke, Bi Halineshi, ingawa hakujua kumtunza kutokana na ujeuri na kiburi. Alimpa mkewe talaka bila kujua hamadi kibindoni silaha iliyo mkononi. Kwa talaka hiyo Bi Halineshi alimpata mchumba akamuoa kwani riziki haigombi. Je, Fikirini ataishi maisha gani bila elimu wala mke?

Book information

ISBN: 9789966478801
Publisher: Phoenix Publishers
Imprint: Phoenix Publishers
Pub date:
DEWEY: FIC
Language: Swahili
Number of pages: 120
Weight: 118g
Height: 178mm
Width: 127mm
Spine width: 7mm