King'ora Cha Mwehu

King'ora Cha Mwehu

Paperback (12 Oct 2016) | Swahili

Not available for sale

Includes delivery to the United States

Out of stock

This service is protected by reCAPTCHA and the Google Privacy Policy and Terms of Service apply.

Publisher's Synopsis

King'ora cha Mwehu ni tamthilia inayoangazia matatizo ya

kiuchumi, kisiasa na kijamii yanayotokana na utawala mbaya wa

viongozi wa nchi ya Sifuri. Viongozi hawa hawana chochote wala

lolote la kuwafaidi wananchi au nchi zao. Kinachowaongoza ni

ulafi na kupapia kila kinachopatikana nchini na kudai wana haki

ya kusherehekea utamu wa Keki ya Taifa.Wanafanya hivi huku

wananchi wakiendelea kuumia, kuteseka na kudhalilishwa na

umaskini, njaa, ukosefu wa ajira miongoni mwa matatizo mengi

yaliyokuwapo tangu enzi za kupigania uhuru. Lakini wananchi

hawana njia ya kujinasua. Kila anayesema ng'we, anapata cha

mtema kuni.


Mwehu anapoliza king'ora chake, wengi wanampuuza na kudhani

ni mwehu tu, lakini hoja zake zinapelekea kuzinduka kwa umma.

Bi Kurwa na Mlevi wanajiunga na Mwehu, na hatimaye chachu ya

mabadiliko inakolea. Kumbe jamii inaweza kubadilishwa na

mwehu! Je, mwamko huu utazua kitu gani? Hii ni tamthilia ya

kimapinduzi. Ni kurunzi ya jamii.

Book information

ISBN: 9789966315472
Publisher: Longhorn Publishers Plc
Imprint: Longhorn Publishers Plc
Pub date:
DEWEY: FIC
Language: Swahili
Number of pages: 218
Weight: 191g
Height: 178mm
Width: 127mm
Spine width: 15mm