Faidika na Methali, Nahau na Vitendawili

Faidika na Methali, Nahau na Vitendawili

Paperback (31 Jul 2022) | Swahili

Save $0.12

  • RRP $30.87
  • $30.75
Add to basket

Includes delivery to the United States

10+ copies available online - Usually dispatched within 7 days

Publisher's Synopsis

FAIDIKA NA METHALI, NAHAU NA VITENDAWILI ni kitabu kilichoandikwa kwa ajili ya wanafunzi wa Kenya. Hata hivyo, kinaweza kutumika katika nchi yoyote ya Jumuia ya Afrika Mashariki na penginepo Kiswahili kinapozungumzwa. Katika mkusanyo huu, wanafunzi wa Shule za Msingi pamoja na walimu wao wataweza kufaidika kwa kuwa na kitabu kimoja chenye fani hizi - methali, nahau na vitendawili - zote katika fumbato moja. Msomaji anapokimaliza vyema kitabu hiki atakuwa amejiongezea msamiati na idadi kubwa ya methali, nahau na vitendawili. Aidha, atakuwa mweledi wa lugha ya kisanii (fasihi) kwani ataweza kubaini na kueleza ujumbe uliyomo kwenye methali, nahau na vitendawili, na pia kuzitumia fani hizo katika miktadha mbalimbali

Book information

ISBN: 9789966478795
Publisher: Phoenix Publishers
Imprint: Phoenix Publishers
Pub date:
Language: Swahili
Number of pages: 148
Weight: 246g
Height: 147mm
Width: 211mm
Spine width: 14mm